KUHUSU PACOME, MAX
Tunajua wote kwa sasa tuko kwenye kujenga tim nasio kubomoa hivyo tunahitaji kuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa wakupambana.
Kuhusu pacome tayari tumemuongezea mkataba atakuepo kutupa raha wana yanga.
Max pia mnafaham uwezo wake katika tim yetu nae pia tulisha muongezea mkataba kusalia katika tim yetu mwana yanga tembea kifua mbele.

Amongst the quality players in Yanga, Pacome
ReplyDelete