KUHUSU KIBABAGE
"Safari huanza na huisha, lakini heshima huishi milele. Leo tunamuaga kijana wetu, mchezaji mtiifu na shujaa wa kijani na njano – Nickson Kibabage. Ulijitoa kwa hali na mali, ukapambana kwa moyo wa kizalendo, na leo unaondoka ukiwa umetufundisha maana ya uaminifu na nidhamu. Yanga itakukumbuka daima. Milango iko wazi – nyumbani ni nyumbani. Nakutakia kila la kheri kwenye safari yako mpya. Daima mbele nyuma mwiko. 💛💚 #AsanteKibabage #YangaFamily #OnceYangaAlwaysYanga"

Comments
Post a Comment