KUHUSU ISRAEL MWENDA


 



Klabu yetu ilishafanya makubaliano na Israh mwenda Ili  kusaini mkataba na Yanga SC, kinachosubiriwa ni malipo tu ya fedha za usajili za israel


NB: Singida wapo tayari kufanya biashara ya full back huyo kuja kwetu rasmi.


Kwaiyo makolo mjiandae moto ni ule Ile hauzimwi, pia tufike hatua nzuri mashindano ya club bingwa Africa tunaimani Sana kufika hatua nzuri.

Comments

Popular posts from this blog

KIHUSU MUDATHIR

MPANZU SOMA HAPA.

USAJILI MPYA SOMA