HERSI AGONGA HODI TENA KWA GIRIMUGUSHA.
RAIS WA YANGA AGONGA HODI TENA KWA JINI KLAUDI GIRIMUGISHA Leo tena tupo hapa kuwaletea wanachama, mashabiki na wapenda soka wa klabu ya yanga taarifa nzito, taarifa ya kina, na taarifa inayoonesha mwelekeo halisi wa uongozi wa yanga katika kuijenga timu yenye nguvu, ushindani na hadhi kubwa ndani na nje ya nchi. Kwa mara nyingine tena, rais wa yanga, Herisi Saidi, amechukua hatua nzito ya kimkakati kwa kugonga hodi rasmi, akionesha nia ya dhati ya kumsajili mchezaji anayefanya vizuri nje ya nchi, mchezaji mwenye uzoefu wa soka la ushindani wa juu barani Afrika. Safari hii macho ya yanga yameelekezwa kwa mchezaji raia wa Burundi, anayekipiga katika klabu kubwa ya Sudan, alihilali omdumani. Mchezaji huyo si mwingine bali ni jini klaudi girimugisha. Kwa muda mrefu sasa, jina la jini klaudi girimugisha limekuwa likitajwa kwenye mipango ya usajili wa yanga. Sio mara ya kwanza uongozi wa klabu hii kumfuatilia mchezaji huyu, bali ni muendelezo wa mchakato ulioanza zamani na sasa umeingi...